Twitter Facebook Feed

TIBA YA MTOTO ANAYE STUKA NA KULIA SANA USIKU

TIBA YA MTOTO ANAYE STUKA NA KULIA SANA USIKU

usiku mtoto huyo hustuka na kulia na hata kupelekea kifo

mara nyingi wazazi haswa wakike wamekua wakiteseka sana kwa watoto wao pindi wanapo ona mtoto kastuka  na kuanza kulia 
tatizo hili mara nying halionekan hospital
  

SABABU NYINGINE HUA

###Nyumba kuwa inaingiliwa sana na wanga

###Mama kuwa na majini mahaba dume.

 NJIA YA KUONDOSHA TATIZO

KWA ALIE FANYIWA KIJICHO 
chukua MAGADI weka kwenye maji kisha muogeshee mtoto kutwa mara mbili
  kama nyumba inasumbuliwa na WANGA upate

MDAULA na MTUNDA kisha loweka katika maji muda wa SAA NZIMA halafu mwaga mwaga ndani ya nyumba nzima,
 kisha mtoto awe anapakwa MAFUTA YA NDIMU kwa miezi sita


  NJIA YA PILI YA KUONDOSHA TATIZO

 kama ni mama ana majini mahaba dume  basi mtoto awe anapakwa MAFUTA ZAITUNI mwili mzima na ASITUMIE mafuta mengine yeyote kupaka zaidi ya mafuta ya zaytun adumu kwa  MIAKA MIWILI. hapo mtoto hatodhuriwa na majini ya mama yake

pia kama mama ana majini ya kuapanda na ni majini mahaba au wale wa kimila au uganga.
mtoto atapakwa MAFUTA YA ZAITUNI mchanganyo na mafuta ya VITUNGUU SWAUMU.  mpaka aache kunyonya

Dr Hamza
0654729438 whatsapp coll sms
0655729439 coll sms
Tanga Pangani Tanzania

0 comments:

Post a Comment