TIBA YA KUONDOA MVI KICHWANI
MVI NI NINI
MVI ni nywele ambazo huota kichwani kwa mwanaadamu lakini zikiwa na rangi nyeupe badala ya nyeusi, na nywele hizo huitwa nywele zilizo chakaa,
na nywele hizo huwa ni chukizo kwa mwenyezo iwapo hajafika umri wa miaka 40.
na huangaika sana ili kuondoa mvi hizo.
JINSI YA KUJITIBU
Dawa rahisi ya kuondoa mvi ambayo aina garama na ya uwakika
chukua KITUNGUU SWAUMU , halafu
Uwe unameza kama kidonge kwa maji BILA kukisaga, utameza VITATU kutwa mara tatu kwa muda wa miezi MITATU mfuatano mpaka MINNE,
mvi zitakuwa zimeondoka. bi idhni llaah
Dr Hamza
0654729438 whatsapp coll sms
0655729439 coll sms
Tanga Pangani Tanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment