TIBA YA MARADHI YA VICHOMI NA MIGUU KUWAKA MOTO
MATATIZO YA VICHOMI NA MIGUU KUWAKA MOTO
maradhi haya kwa muangalio wa kawaida ni kichekesho,
lakini maradhi yenye kutesa na adha kubwa kwa mwenye kukumbwa na maradhi hayo'
lakini huwa yanatibika na jinsi ya kutibu inakubidi ufanye kitu kidogo
chukua dawa ifuatayo
1) mafuta ya ndimu
2) mafuta ya kitunguu thaum
kisha changanya,
halafu uwe unachua kwa nguvu sehemu zenye vichomi au pale penye kuwaka moto katika mwili wako. fanya hivyo asubuhi na usiku kwa siku 11. utapona kabisa
Dr Hamza
0654729438 whatsapp coll sms
0655729439 coll sms
Tanga Pangani Tanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment