JIEPUSHE NA MADHI YA KIZEMBE
UNYWAJI CHAI na kufuatisha MAJI BARIDI sana ni hatari kwa kusababisha tatizo la MAPAFU.
KUNYWA MAJI MENGI katikati ya KULA ni hatari gastric peristalsis ambapo huwezi kusababisha kusinyaa kwa utumbo mpana na kusababisha UKOSEFU WA CHOO.
NDIZI NA MAZIWA huleta uzito katika mwili na kusababisha sumu ambayo hupelekea akili kua dhaifu katika utendaji
FIGILI NA NYAMA YA SUNGURA unapoteza nywele
WANAUME kulala
KIFUDIFUDI baada ya
JIMAI ni hatari kwani hukandamiza misuli na kuweza kusababisha upungufu wa NGUVU ZA KIUME
Wakati kulala ubavu wa shoto husababisha maradhi ya MLIPUKO WA MOYO
FIGILI NA NYAMA YA KUKU
ukipika pamoja unapoteza nguvu kabisa katika maisha yako
Haya ni maradhi ya
KIZEMBE kwa sababu yatakusababishia gharama kutibu hali hukuwa na sababu ya kupoteza gharama. ..
Dr Hamza
0654729438 whatsapp coll sms
0655729439 coll sms
Tanga pangani Tanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
1 comments:
asante dr hamza
Post a Comment