Twitter Facebook Feed

FAIDA ZA MRONGE(MORINGA)

FAIDA ZA MRONGE(MORINGA)

FAIDA ZA UNGA WA MRONGE
Huimarisha msukumo wa damu,

Hudhibiti glucose kwa wenye sukari,

Huondoa mashaka na wasiwasi,

Huongeza  kinga na nguvu mwilini,

Hutibu  kuhara na kuhara damu, Huondoa  uvimbe kwenye utumbo mwembamba, na

Huondoa  vimbe nyingine mwilini,

Huongeza  kasi ya utoaji mkojo,

Huondoa  matatizo mbalimbali ya moyo.

Hutibu homa na kikohoza

Unga wa mlonge hutengenezwa kutokana na majani bora ya mti wa mlonge, tumia kijiko cha chai 2 mara 3, kwa wiki 3.


MBEGU ZA MLONGE (MORINGA SEEDS)

Huondoa vipele kwenye ngozi

Huondoa shinikizo la damu

Huondoa saratani ya tumbo

Huondoa homa za mara kwa mara

Hutibu maralia

Hupunguza vitambi , kwa wanawake na wanaume

Huondoa mawe kwenye kibofu cha mkojo

Huongeza nguvu za kiume na za kike

Huongeza uwezo wa kumbukumbu

Hupunguza hasira

Hupunguza tatizo la mafua

Mbegu nazo huchumwa kutoka katika mti bora wa mloge


MAFUTA YA KUPAKAA YA MLONGE

Hulainisha ngozi

Huondoa uchovu

Hutumika kwa wanawake na wanaume kujipaka

Huondoa mabaka na mibabuko

Huondoa ukurutu na magamba mwilini

Huondoa harufu mbaya sehemu za siri

Hunawirisha mwili.

Magonjwa mengine unayoweza kupona kwa kutumia mafuta ya mbegu za mlonge ni pamoja na:

1. Upungufu wa damu (anaemia)
2. Maumivu kwenye maungio (joints pain)
3. Pumu (asthma)
4. Saratani mbalimbali
5. Kufunga choo
6. Kuharisha
7. Kifafa
8. Kisukari
9. Matatizo ya moyo
10. Maumivu ya kichwa
11. Vidonda vya tumbo
12. Mawe kwenye figo

Kujitibu maambukizi kwenye via vya uzazi vya mwanamke yaani P.I.D kunywa kijiko kidogo cha chai cha mafuta ya mlonge kutwa mara moja na unaweza kuongeza mpaka kutwa mara 2 kutegemea na mwili wako unavyoitika kwa dawa.


MIZIZI YA MLONGE

Chukua kilo 1 ya mizizi, chemsha ndani ya lita 2 za maji, chuja vizuri. Tumia glass 1 kutwa mara 3. kwa kuimarisha afya na kinga mwilini kwa siku 10

Dr Hamza
0654729438 whatsapp coll sms
0655729439 coll sms
Tanga Pangani Tanzania

0 comments:

Post a Comment