Twitter Facebook Feed

TIBA YA BARIDI YABISI

TIBA YA
BARIDI YAABIS ( rheumatoid arthritis )

BARIDI  YAABIS  ni ugonjwa sugu ambao husababisha uvimbe kwenye viungo ambapo huleta maumivu makali, ulemavu na viungo kushindwa kufanya kaz haswa vidole , kiuno, miguu na enka za miguu
 japo matatizo haya hayana tiba hospitali na dalili zake ni ngumu kuzigundua maana huja na kupotea au kuhama kutoka kiungo mpaka kiungo .
hizi ni baadhi ya dalili kukujulisha kua unaugua (  rheumatoid arthritis )

DALILI ZA UGONJWA


MAUMIVI YASIYO PONA  haswa ya enka za miguu 

KUPATA GANZI kwenye vidole vya miguu au mikononi

UCHOVU


MAUMIVU YA VIUNGO


KUKAKAMAA KWA VIUNGO hukithiri haswaa muda wa asubuhi



VIUNGO KUPATA JOTO KALI


VIUNGO KUVIMBA


MOJA YA KATI YA TIBA ZAKE 


1)  pondaponda TANGAWIZI kisha CHANGANYA NA MAJI YA MOTO KIKOMBE KIMOJA

kunywa asubuhi kabla ya kula chochote IWE NDO TIBA YAKO KILA SIKU .


2)  CHEMSHA MAZIWA KIKOMBE KIMOJA

CHUKUA UNGA WA  BINZARI MANJAO KIJIKI KIMOJA

ASALI KIJIKO KIMOJA

CHANGANYA VYOTE PAMOJA KISHA KUNYWA NDANI YA SIKU 21

Dr Hamza
0654729438 WhatsApp coll sms
0655729439 coll sms
Tanga Pangani Tanzania

0 comments:

Post a Comment