Twitter Facebook Feed

TIBA YA KIHARUSI (STROKE DISEASE)

TIBA YA KIHARUSI (STROKE DISEASE)


KIHARUSI (STROKE DISEASE)

ubongo wa mwanadamu huitaji kiwango kizur cha DAMU kuweza kufika kwenye ubongo kwa sabab damu hubeba virutubisho na oxygen inayo tumika kwenye ubongo na ubongo ukikosa oxygen ndan ya dakika 5 cell zake huanza kufa na mwisho mtu kufariki dunia

Kiharusi ni maradhi yanayo tokea haswa baada ya mishipa ya damu kushindwa kufikisha damu inayo hitajika katika ubongo 

kuna sabab nying zinazo pelekea damu kushindwa kufika ipasavyo kwenye ubongo nazo ni kupasuka kwa mishipa au mishipa kuziba kutokana na mafuta kuzid kwenye mishipa ya damu


piakuna  KIHARUSI ambayo husababishwa na majini aina ya UMMU SUBIANI, 
Ambayo hii hutoka na mtu KUANGUKA CHOONI japo pia kuanguka bafuni husababishwa na mtu kuwah kuosha kichwa na maji barid inaya sababisha mishipa kusinyaa ghafla na kupelekea kupasuka kwa sabab ya ujazo wa damu inayo pita kwenye mishipa.

DALILI ZA KIHARUSI

unaweza mgundua mtu kama ana kiharusi kwa kuangalia dalili zifuatazo

FACE mwangalie usoni kisha muombe atabasamu je UPANDE MMOJA WA USO KAMA UMEANGUKA

ARMS mwambie anyanyue mikono miwili juu je  MKONO MMOJA UMELEGEA AU KASHINDWA KUUNYANYUA

SPEECH muuombe arudie sentence utayo sema je ANA MUMUNYA MANENO 
ikiwa ndio bas

TIME usipoteze mda muwahishe hospital haraka iwezekanavyo

kama hospital washindwa kujua tatizo ni nin basi fanya ifuatavyo


TIBA

KWANZA pata  kisomo cha harbu l qatwui na sayfu l qatw I

CHANGANYA MAFUTA YA NDIMU NA MAFUTA YA NYANGUMI

CHANGANYA APAKAE KUANZIA KICHWANI KISHA IFATE MWILI MZIMA

kisha dawa ya kunywa ni

KAMUN AS WAD

HABAT SAUDA za UNGA, 


unachanganya kisha unachemsha KIJIKO KIKUBWA halafu unaweka maji Vikombe vikubwa VITATU yachemke mpaka yabaki vikombe 2 kisha unakunywa asubuhi na usiku siku hizo hizo.

Dr Hamza
0654729438 Whatsapp coll sms
0655729439 coll sms
Tanga Pangani Tanzania

0 comments:

Post a Comment