TIBA YA PUMU
(a)Njia rahisi ya kutibu Pumu
Tafuta simbi zaidi ya 20 zifanye kuwa unga kisha chukua ndimu nyingi na asali changanya kwa ujazo sawa Kunywa mchanganyiko huu kijiko 1 mara3 kwa siku hadi upone.AU kula vitunguu maji kwa wingi
(b) Njia ya pili tafuta Pembe ya mbuzi-kausha kisha usage na unga wake changanya na asali na ulambe mara 3 kwa siku adi upone.
Dr Hamza
0654729438 whatsapp coll sms
0655729439 WhatsApp coll sms
Tanga Pangani Tanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment