Twitter Facebook Feed

MAJINI AINA YA ZAWAABIL

MAJINI AINA YA ZAWAABIL


MAJINI ZAWAABILI


Majini hawa husababisha maradhi yafananayo na ya kansa au mkanda wa jeshi.
Ni majini wapumbavu sana.
Na humuingia kwa wepesi mtu mwenye TABIA YA KUPENDA KUKAA WAZI MWILI WAKE AKITOKA KUOGA
Na akiwa ni JINI MAHABA aina hii hutopenda kusikia wala kukaa na mwenye kunuka jasho ila utakuwa mwenye kutema tema mate.

DALILI ZAKE


Mwili kuwasha sana

Ngozi kubabuka

Ngozi kuvuka kama gamba la nyoka

Mwili kuvimba na kuwaka moto

Mwili kuwa na midonda ya mapele


KUWAONDOA KWAKE


Kisomo cha KHAWAATIMU siku 11

Na dawa zakupakaa ni MRUTURUTU changanya na MAFUTA YA NYONYO au MAFUTA YA NDIMU pakaĆ  siku 27
 
Dawa za kunywa ni MKUNAZI na SUFA NYEKUNDU siku 27
 
KWA MAWASILIANO ZAIDI YA TIBA NA KISOMO.

Dr Hamza
0654729438 WhatsApp coll sms
0655729439 coll sms
Tanga Pangani Tanzania

0 comments:

Post a Comment