Twitter Facebook Feed

DAWA RAHISI YA KUSHINDA KESI

DAWA RAHISI UKITAKA KUSHINDA KESI YOYOTE


Cha kufanya;
siku ya jumaapili saa kumi na moja 11 jioni chukua mchele unaotosha kiganjani kisha nenda mpaka ulipo mti unaoitwa mtunguja nadhani wengi wetu tunaujua kwani umefanana na mtungule au nyanya ila chagua ule mchanga ambao majani yake bado hayajaanza kuota miba


ukisha fika hapo chini ya mtunguja elekea magharibi [linapo zama jua] kisha uanze kunuia hivi {wewe ndio mtunguahaja nimekuja kukuchukua ukanitimizie haja yangu

BIBARAKATI AGARES BIBARAKATI DALWUUSH BIBARAKATIL TWAUGHUSH 


rudia mara saba x7 huku ukiuzungushia mchele kwa staili ya kunyunyiza
baada ya hapo ukimaliza chuma majani yake kumi na nne 14

katika majani hayo saba yafikiche kwa maji na maji yake unawe usoni


na yale saba mengine yaliobaki chukua nepi ile wanayofungiwa watoto wadogo uyafunge yale majani saba yaliobaki na wakati unayafunga unatakiwa kutamka hivi


{MIMI FULANI BINTI FULAN{utataja jina lako na jina la mama yako mzazi } HAPA SIFUNGI DAWA BALI NAMFUNGA FULANI BINTI FULANI [ utataja jina la yule anaekushtaki pamoja na wote wanaoifuafilia kesi hata hakimu pia kama unamjua mtaje}ASIWE NA KAULI YOYOTE JUU YA KESI HII ASIWEZE KUTAMKA WALA KUSIKILIZWA WALA KUSAIDIWA JUU YA HILI ILI CHOCHOTE NTAKACHOKISEMA MIMI KIWE NDICHO NA KISIPINGWE KWA BARAKA ZA MASHARIFU NA MASULTWANI NA MALAIKA WOTE]rudia mara saba pia


ukisha maliza hayo na kuifunga ile nepi tia mkobani au mfukoni upande wa kulia wende nayo siku ya kesi

Utashinda kwa kishindoo
PIA DAWA HII UNA WEZA KUIFANYA SIKU YA JUMATANO NA ALHAMIS TU

Dr Hamza
0654729438 WhatsApp coll sms
0655729439 coll sms
Tanga Pangan Tanzania

0 comments:

Post a Comment