NYOTA NA MILANGO YA MARADHI
NYOTA NA MILANGO YA MARADHI
NYOTA NA MLANGO WA MARADHI
nyota zina mgawanyo wa hali na tabia, pia huongoza maarifa ya kazi
Lakini leo tunaangalia mlango wa maradhi wa kila nyota
1. Punda
Nyota hii mwenyewe husumbuliwa na maradhi ya kichwa na moyo, kwa sababu huwa wanasumbuliwa au hurogwa kwa jini Khafqaan
Mwili huwa na joto unababua kama Moto mwilini
Tabia ya nyota ni moto
Kazi zake ni usafirishaji na utumishi ,siku ya bahati jumanne na nuks jumapili
2. Ng'ombe
Hii Nyota hufanyia kazi katika udongo, siku yake ya bahati ijumaa na nuks jumatano
Maradhi yake, viungo kulegea kama mtu aliye choka na majini kama maymuna huusumbua sana mwili huo, wanapenda mapenzi sana
kazi ni biashara ya mazao au uchimbaji madini
3. Mapacha
Inafanya kazi jumatano, na nuks jumatatu
Tabia yake upepo, kazi za mawasiliano au elimu ya anga
Biashara zote za vyombo vya mawasiliano
Maradhi
Husumbuliwa kwa marogi kupitia jini twayr, huwa wanaota kupaa, chunus sugu, na matatizo ya uzazi
4. Kaa
Ina fanya kazi jumatatu na nuks yake jumamosi
Nyota hii ni nzuri kwa utawala japo kuwa mara nyingi haipati sifa hata ikitawala vzuri, utendaji ni maji
Kazi huduma zote za jamii, utumishi na kutumika kwa maslahi machache pia hujiamini sana
Maradhi huingiwa sana na maradhi ya mapenzi kama limbwata, husda ya ndugu na marafiki kumuona kama ana nufaika hali hana maslahi zaidi ya utumishi
5. Simba
Inafanya kazi jumapili na nuks ijumaa
Maradhi yake, vidonda vya tumbo, kiungulia na kuchukiwa haswa na majirani
Hutumika sana subian kudhuru watu hawa
Kazi ni usimamizi na uangalizi wa mali, na kutunza amana za watu japo uaminifu kwao huwa mdogo,tabia moto
6. Mashuke
Hufanya kazi jumatano na nuks jumatatu
Nyota yenye asili ya kipato kwa kazi za mahesabu au uhasibu na mambo ya utunzaji amana
Hutenda kazi katika udongo
Husumbuliwa kurogwa kwa jini Ummu subian
Maradhi ya strock, ganzi na baridi kama rheumatism
Maradhi ya moyo na cholesterol tatizo la kushindwa kufanya jimai
7. Mizani
Inatenda kazi ijumaa na nuks jumatano
Husumbuliwa na husda na wivu, majini kama tawaabia, alkhannaas, zawaabil husumbua sana watu hawa.
Hawa watu ni upepo na hawana misimamo
8 Nge
Hutenda kazi jumanne na nuks jumapili
Hutenda kazi kwa maji, watu wenye jadhba na maamuzi ya kujilaumu, wana mikono ya kuharibu na kuto dumu na vitu. Wana maeneno mengi, na akili huwa vichwa vyao vipo haraka kidogo
Majini aljinnu saakiniyna au khaadimu sihr huwa athiri sana
Wengi wao husumbuliwa na chale za wanga huwa wana maradhi ya kukakamaa misuli
9. Mshale
Inatenda kazi alkhamis na nuks jumanne
Nyota ya biashara, nyota hii hata iuze matapishi itaingiza pesa
Ni nyota hatari kwa kuchezewa na washirikina, wengi wao hupatwa uchizi wa ghafla kwa kuchukuliwa nyota, ni nyota yenye uaminifu zaidi na misimamo, pia maamuzi yao ni makubaliano huwa hawaamui wenyewe kwa matakwa yao. Wavivu sana wa kula na kunywa, husumbuliwa haraka na sukari, figo na homa za matumbo
10. Kondoo (mbuzi)
Ina tenda jumamosi na nuks alkhamis
Tabia udongo
Maradhi ya kichwa, khofu, matatizo ya viungo kulegea na kuishiwa nguvu na macho kusumbua bila sababu za kidaktary, hutokana na kusumbuliwa na husda za wachawi
Kwani kwa kazi za shamba nyota hii ina nguvu sana pia elimu ya misitu na mimea. Majini kama hamaatu nnisaai, jinnu saakiniyna na ummu subian, huwafanya wakawa na madhaifu mengi ya ndoa na uzazi
11. Ndoo
Inafanya kazi jumamosi na nuks alkhamis
Husumbuliwa na matatizo ya akili, moyo pamoja na matatizo ya kuanguka, si ajabu kwa mtu huyo
Na ikitokea wanaishi karibu na makaburi rahisi kukumbwa na jinni mayyit
Na wazuri kwa kazi na elimu ya kuhifadhi na usindikaji, au ujasiriamali
12. Samaki
Hutenda alkhamis na nuks jumanne
Husumbuliwa na awaaridhwu, riyh riyhaan, na majini wengi sana kwa kuwataja mmoja mmoja ni ngumu
Pia huwa ni watu wenye kuandamwa na mambo ya kiasili kuanzia maradhi, afya na rizqi
Husda nyingi hufanyiwa na wanawake
Kazi ya kuhudumia jamii kama Jeshi, utabibu na sheria zinawafaa sana
Kama unaziada karibu inbox
Vigezo na mashart kuzingatiwa
Baada ya kujua ulivyo ndiyo uweze kusaidika kwani wapo ambao nyota zao huahama na wengine kutembelea nyota ya washirika, ili kusaidiwa tatizo la kinyota huhitajika sana utumiaji wa Aayatu rizqiya, ayaatu l fat hi, na ayaatul khawaatimu
Swihat shifaa na zaytu shifaa ni lazima kupatikana kwa dawa za kula,kuoga na kupakaa
Na kama ujui nyota yako jitaidi uwasiliane na
Dr Hamza
0654729438 WhatsApp coll SMS
0655729439 coll SMS
Tanga Pangani Tanzania
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments:
Post a Comment