Twitter Facebook Feed

DAWA KWA ANAESUMBULIWA NA MASHETANI

DAWA KWA ANAYESUMBULIWA NA MASHETANI


tafuta dawa zifuatazo zitakusaidia kufukuza mapepo yoyote mabaya yanaokusumbua! 

Majani ya mbaazi.
Majani ya mkaratusi.
Majani ya tumbaku.
Majani ya mkuyu.
Majani ya mzambalau.
Majani ya matula tula jinalingine mtunguja.
Samaki aina ya shilonge.
Majani ya makaburini ya kona zote yaani {majani ya mbono}
Unga wa vitunguu swaum.
. Mti ulioangushwa na upepo
mizizi iliyo tazama juu.


matumizi ;

saga dawa hizi pamoja na uweke katika
chupa safi au katika kopo la plastiki
kunywa kwenye uji kijiko kikubwa1 mara 3 kwa siku
mpaka siku7 au kamakikubwa lako ni la
muda mrefu tumia kwa siku 14 au zaidi.


Pia jifukize dawa hii hapa chini asubuhi na jioni.
Mvuje
Altiti
Kiberiti upele
Karafuu maiti
Saga upate unga.


Na kuoga ni asubuhi na jioni unachota kijiko kidogo
unapotaka kulala unapaka utosini pia.

Hakika kama ni jinni anae kusumbua
atatoka haraka sana hivyo baada ya kutoka weka kinga ya mwili ili  usije kupatwa tena na matatizo ya mashetwani

kama una tatizo lolote inshaaa Alhaaa piga  NAMBA izi au WhatsApp

Dr Hamza
0654729438 coll WhatsApp SMS
0655729439 coll SMS
Tanga Pangan Tanzania

0 comments:

Post a Comment