Twitter Facebook Feed

DAWA RAHISI SANA YA KUWAONA WACHAWI

Kwa wanaotamani kuwaona wachawi live tu!

Duniani kuna miti mingi sana yenye nguvu za asili za miujiza

Katika miti hiyo mmoja wapo ni mti wa kisamvu

Kisamvu ni mboga,mizizi yake ni chakula na hata shina lake huweza kutumika kama kuni

Lakini siri kubwa iliyopo katika mti huu ni kuwa,majani yake yana uwezo mkubwa wa kukufanya uwaone wachawi live wakiwa kwenye kazi zao.

Kama na wewe ni mtu anayetamani sana kuwaona viumbe hawa basi fuata taratibu zifuatazo

Sharti
1.usiwe muoga
2.utakapowaona usikimbie wala kuonyesha mshtuko bali tulia mpaka watakapotoweka

Tahadhari
~ni vyema uwe na kinga dhidi ya nguvu zao hasi,hili pindi utakapovunja sharti lolote hapo juu usiweze kupata madhara yoyote

 *MAANDALIZI*
~Ponda kisamvu mpaka kiive vizuri

~Kamua hili upate maji yake

~Chukua maji hayo nawa usoni huku unanuia

Ukimaliza hapo nenda sehemu ya soko ama panapokuwa na mkusanyiko mkubwa wa watu ama kasimame njia panda,pia hata ukiwa ndan umelala kama watakuja utawaona

Ukiwa na shida yoyote nione 

Dr Hamza
0654729438 WhatsApp coll SMS
0655729429 WhatsApp coll SMS
0746025804 coll SMS

Tanga pangan Tanzania

0 comments:

Post a Comment